Kabla ya Misa ya Mwaka Mpya, Papa amesema, "Tunapoteza uvumilivu muda mwingine. Imetokea kwangu. Naomba msamaha kwa mfano mbaya nilioutoa jana."
Kiongozi huyo aliendelea na kusalimia watu baada ya tukio hilo huku akiweka umbali fulani baina yake na Waumini hao walikowa wamekusanyika katika eneo la 'Saint Peter's square
Comments
Post a Comment