Maandalizi ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli yakiendelea kwenye uwanja wa Jamhuri Dodoma. Mwili utawasili Dodoma leo na zoezi la kutoa heshima za mwisho litafanyika kesho.
Maandalizi ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli yakiendelea kwenye uwanja wa Jamhuri Dodoma. Mwili utawasili Dodoma leo na zoezi la kutoa heshima za mwisho litafanyika kesho.
Comments
Post a Comment